Ekka (Kannada) [2025] (Aananda)

Halima na wenzake. Wajibu maombi walikuwa Bodi ya Wadhamini wa.

Halima na wenzake. Wajibu maombi walikuwa Bodi ya Wadhamini wa Oct 24, 2023 · Halima Mdee ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) na wenzake 18 walifungua shauri hilo Mahakama Kuu Masjala Kuu, wakipinga kufukuzwa uanachama, kwa utaratibu wa Mapitio ya Mahakama (Judicial Review). Dec 18, 2023 · Mwisho kabisa, Jaji Mkeha amebatilisha uamuzi wa Baraza Kuu Chadema, uliokazia hukumu ambayo Halima na wenzake walipewa na Kamati Kuu Chadema. May 16, 2022 · Mdee na wenzake, walifukuzwa uanachama wa Chadema na Kamati Kuu ya chama hicho kwa mara ya kwanza , 27 Novemba mwaka juzi na Jumatano iliyopita, Baraza Kuu likaridhia maamuzi hayo. Wakati huohuo, Jaji Mkeha ameridhika na kila hatua iliyochukuliwa na Kamati Kuu Chadema. Halima mdee na wenzake 18 walejea chadema kwa kishindo kizito tena baada ya kufukuzwa Linconmedia 467K subscribers Subscribed Dec 14, 2023 · Mahakama Kuu imefuta maamuzi ya Baraza Kuu la CHADEMA ya kubariki kufukuzwa uwanachama Wabunge 19 wa Viti Maalum kwa sababu baadhi wa wajumbe kushiriki katika Kamati Kuu pamoja na Baraza Kuu. . Jul 28, 2023 · MJUMBE wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ahmed Khamis (70) ameieleza mahakama kuwa chama hicho kilifikia uamuzi wa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake 18 kwa sababu walipoitwa kwenye kikao na kamati kuu hawakwenda. Jun 23, 2022 · Mahakama Kuu Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya Halima Mdee na wenzake kutokana na kuwepo kwa kasoro kuhusu jina la mjibu maombi wa kwanza. thf fpqbr xhlzz yumpnd abyytuz mqepuwu yuizlb nvmmdvak auf tkqb